- Advertisement -
Ad image

Choose Your Plan

Get unlimited access to everything

Monthly Plan

Plans starting at less than $9/month. Cancel anytime.

$9/month
Unlimited access to contentPaper magazine deliveredExclusive discountPremium supportCancel any time
[swpm_payment_button id=1971 button_text="Buy Monthly Plan"]

Yearly Plan

Billed yearly at $54, Save 40% for this plan. Cancel anytime.

$54/year
Unlimited access to contentPaper magazine deliveredExclusive discountPremium supportCancel any time
[swpm_payment_button id=1971 button_text="Subscribe Now"]

Follow Us

More Latest News

Nabii Dk GeorDavie amwaga machozi Madhabahuni

NA MWANDISHI WETU, ARUSHA KIONGOZI wa  Kanisa la Ngurumo ya Upako lililopo Kisongo Jijini Arusha  Nabii  Mkuu Dk GeorDavie amemwaga

Editor Editor February 27, 2023

TUTAENDELEA KUTATUA MIGOGORO YA HIFADHI KWA MASLAHI YA TAIFA- WAZIRI KAIRUKI

NA HAPPINESS SHAYO, DODOMA WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Angellah Kairuki (Mb) amesema Serikali itaendelea kutatua migogoro mbalimbali ya Sekta

Editor Editor February 15, 2024

TFRA YAWAPIGA MSASA WAKULIMA KUHUSU MATUMIZI SAHIHI YA MBOLEA MBADALA

NA MWANDISHI WETU,UYOLE,MBEYA MAMLAKA ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) imeendesha mpango wa kutoa elimu kwa wakulima kuhusu matumizi sahihi

Editor Editor October 4, 2025

ELIMU YA VIPIMO YAWAVUTIA WADAU MBALIMBALI KUTEMBELEA BANDA LA WMA NANE NANE

NA MWANDISHI WETU,DODOMA IKIWA ni siku ya pili ya Maonesho ya Nanenane kitaifa jijini Dodoma, wadau mbalimbali wameonekana kuvutiwa na

Editor Editor August 2, 2026

WMA YAANZA KUTOA ELIMU YA VIPIMO MAONESHO YA NANE NANE 2026

NA MWANDISHI WETU,DODOMA WAKALA wa Vipimo (WMA) wameanza kutoa elimu ya vipimo kwa wakulima, wafugaji na wavuvi katika siku ya

Editor Editor August 1, 2026

DK NCHEMBA ATAKA FEDHA ZA NBC MARATHON ZILETE TIJA KWA WALENGWA

NA MWANDISHI WETU,DODOMA WAZIRI Mkuu Dk. Mwigulu Nchemba amezitaka wizara na taasisi zinazonufaika na fedha za NBC Marathon zihakikishe zinatumika

Editor Editor July 26, 2026

WAKALA WA VIPIMO WANG’ARA NBC MARATHON

NA MWANDISHI WETU,DODOMA WATUMISHI wa Wakala wa Vipimo (WMA) asubuhi ya leo Julai 26, 2026 wameshiriki katika mbio za NBC

Editor Editor July 26, 2026

PROF. KABUDI AKAGUA MAANDALIZI KUELEKEA KUMBUKIZI YA MASHUJAA

NA MWANDISHI WETU,DODOMA WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) Profesa Palamagamba Kabudi amekagua

Editor Editor July 24, 2026

Editor's Pick

- Advertisement -
Ad image

  TASAC YATOA TAARIFA KUZAMA KWA  MELI YA UVUVI “MV LEGACY”           SHIRIKA la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limetoa taarifa kwa Umma kuhusu tukio lakuzama kwa boti ya uvuvi “MV LEGACY” yenye namba ya usajili DS/L1175 inayomilikiwana Yakoub Juma Khamis na yenye urefu wa mita 11 na upana wa mita 1.7 iliyopatiwa Cheti cha Usajili na Ubora na TASAC kufanya shughuli za uvuvi mnamo tarehe06/03/2024.Mnamo tarehe 10/03/2024 majira ya 10:01 alasiri, kituo chetu cha kuratibu shughuli zautafutaji na uokoaji (MRCC) kilipokea taarifa ya kuzama kwa boti ya uvuvi “MV LEGACY”iliyotokea majira ya saa 9:50 jioni karibu na fukwe ya Coco Beach, Msasani, Wilaya yaKinondoni mjini Dar es salaam ambayo ilikuwa na jumla ya Mabaharia tisa (09)ikijumuisha Wavuvi sita (06), Mhandisi Mitambo mmoja (01) na Manahodha wawili (02).Kituo cha MRCC kilifanya jukumu lake la kisheria la kuratibu shughuli ya uokoaji kwakutoa taarifa kwa Jeshi la Polisi (Wanamaji) na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji na kufanyajuhudi za kufika eneo la tukio na kufanya zoezi la uokoaji. Watu wote tisa wamefanikiwakuokolewa na wanaendelea vizuri kiafya bila ya kuwa na changamoto yoyote.Boti hiyo ambayo ilikuwa katika majaribio ya kiufundi baada ya matengenezo ya mifumoya uvuaji samaki kwa kukokota (Trawling), ilianza majaribio majira ya saa 3:00 asubuhiikitokea maeneo ya Tandavamba, Kivukoni na kufanya majaribio ya kuvua samakiwakizunguka katika maeneo yenye maji mafupi karibu na eneo la daraja jipya laTanzanite (Upanga) hadi Coco Beach (Oysterbay). Ilipofika majira ya saa 9:50 Alasiriwakati nahodha anabadilisha uelekeo wa boti kuelekea upande wa kulia ndipo kambamoja ya upande wa kushoto ikakatika na kusababisha uzito kelemea kwenye kamba yaupande wa kulia na ndipo uzito ulipohama ghafla na kuilazimisha boti kunywa majiupande wa kulia kisha kuzama.TASAC inaendelea kutoa rai kwa wamiliki na waendeshaji wa vyombo majini kuzingatiaSheria na Kanuni za udhibiti usafiri majini na kuhakikisha muda wote wanavalia majaketiokozi ili kujiepusha na maafa yanayoweza kusababishwa na tukio la ajali.Imetolewa na;Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu,Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC).

This will close in 20 seconds