- Advertisement -
Ad image

Choose Your Plan

Get unlimited access to everything

Monthly Plan

Plans starting at less than $9/month. Cancel anytime.

$9/month
Unlimited access to contentPaper magazine deliveredExclusive discountPremium supportCancel any time
[swpm_payment_button id=1971 button_text="Buy Monthly Plan"]

Yearly Plan

Billed yearly at $54, Save 40% for this plan. Cancel anytime.

$54/year
Unlimited access to contentPaper magazine deliveredExclusive discountPremium supportCancel any time
[swpm_payment_button id=1971 button_text="Subscribe Now"]

Follow Us

More Latest News

FEDHA ZILIZOKUSANYWA ‘BUNGE MARATHON’ ZITATUMIKA KAMA ILIVYOKUSUDIWA-MAJALIWA

NA MWANDISHI WETU, DODOMA WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewahakikishia Watanzania fedha zilizokusanywa katika mbio za hisani za Bunge zitakwenda kutumika

Editor Editor April 12, 2025

SERIKALI YAVUNA SH. BILIONI 726, 219 SEKTA YA MADINI

*Ni kuanzia Julai 2024, hadi Aprili 2025 *Vibali 9,540 vya usafirishaji madini nje ya nchi vyatolewa *Matumizi ya Baruti yaongezeka

Editor Editor May 2, 2025

Tume yataka wananchi kutazama Daftari la awali vituoni na kuhakiki taarifa zao

NA MWANDISHI WETU,IRINGA TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi ( INEC)imewataka wananchi kutoka katika mikoa 15 ya Tanzania Bara inayotekeleza

Editor Editor May 1, 2025

SERIKALI KUTAMBULISHA LESENI MPYA MAALUM YA UZALISHAJI CHUMVI

▪️Waziri Mavunde aelekeza mchakato wa mabadiliko ya sheria kuanza. ▪️Aelekeza kanuni kubadilishwa kupunguza tozo kwa hekta kufikia 20,000. ▪️Wazalishaji Chumvi

Editor Editor May 1, 2025

Sekta ya Madini imepiga hatua – Dk. Kiruswa

*Aipa Tano Tume ya Madini ukusanyaji maduhuli NA MWANDISHI WETU,DODOMA NAIBU Waziri wa Madini, Dk. Steven Kiruswa amesema chini ya

Editor Editor May 1, 2025

CRDB YAPONGEZWA KWA USALAMA KAZINI

NA MWANDISHI WETU SINGIDA WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Ridhiwani Kikwete, ameipongeza

Editor Editor May 1, 2025

Editor's Pick

- Advertisement -
Ad image

  TASAC YATOA TAARIFA KUZAMA KWA  MELI YA UVUVI “MV LEGACY”           SHIRIKA la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limetoa taarifa kwa Umma kuhusu tukio lakuzama kwa boti ya uvuvi “MV LEGACY” yenye namba ya usajili DS/L1175 inayomilikiwana Yakoub Juma Khamis na yenye urefu wa mita 11 na upana wa mita 1.7 iliyopatiwa Cheti cha Usajili na Ubora na TASAC kufanya shughuli za uvuvi mnamo tarehe06/03/2024.Mnamo tarehe 10/03/2024 majira ya 10:01 alasiri, kituo chetu cha kuratibu shughuli zautafutaji na uokoaji (MRCC) kilipokea taarifa ya kuzama kwa boti ya uvuvi “MV LEGACY”iliyotokea majira ya saa 9:50 jioni karibu na fukwe ya Coco Beach, Msasani, Wilaya yaKinondoni mjini Dar es salaam ambayo ilikuwa na jumla ya Mabaharia tisa (09)ikijumuisha Wavuvi sita (06), Mhandisi Mitambo mmoja (01) na Manahodha wawili (02).Kituo cha MRCC kilifanya jukumu lake la kisheria la kuratibu shughuli ya uokoaji kwakutoa taarifa kwa Jeshi la Polisi (Wanamaji) na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji na kufanyajuhudi za kufika eneo la tukio na kufanya zoezi la uokoaji. Watu wote tisa wamefanikiwakuokolewa na wanaendelea vizuri kiafya bila ya kuwa na changamoto yoyote.Boti hiyo ambayo ilikuwa katika majaribio ya kiufundi baada ya matengenezo ya mifumoya uvuaji samaki kwa kukokota (Trawling), ilianza majaribio majira ya saa 3:00 asubuhiikitokea maeneo ya Tandavamba, Kivukoni na kufanya majaribio ya kuvua samakiwakizunguka katika maeneo yenye maji mafupi karibu na eneo la daraja jipya laTanzanite (Upanga) hadi Coco Beach (Oysterbay). Ilipofika majira ya saa 9:50 Alasiriwakati nahodha anabadilisha uelekeo wa boti kuelekea upande wa kulia ndipo kambamoja ya upande wa kushoto ikakatika na kusababisha uzito kelemea kwenye kamba yaupande wa kulia na ndipo uzito ulipohama ghafla na kuilazimisha boti kunywa majiupande wa kulia kisha kuzama.TASAC inaendelea kutoa rai kwa wamiliki na waendeshaji wa vyombo majini kuzingatiaSheria na Kanuni za udhibiti usafiri majini na kuhakikisha muda wote wanavalia majaketiokozi ili kujiepusha na maafa yanayoweza kusababishwa na tukio la ajali.Imetolewa na;Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu,Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC).

This will close in 20 seconds