- Advertisement -
Ad image

Choose Your Plan

Get unlimited access to everything

Monthly Plan

Plans starting at less than $9/month. Cancel anytime.

$9/month
Unlimited access to contentPaper magazine deliveredExclusive discountPremium supportCancel any time
[swpm_payment_button id=1971 button_text="Buy Monthly Plan"]

Yearly Plan

Billed yearly at $54, Save 40% for this plan. Cancel anytime.

$54/year
Unlimited access to contentPaper magazine deliveredExclusive discountPremium supportCancel any time
[swpm_payment_button id=1971 button_text="Subscribe Now"]

Follow Us

More Latest News

WANANCHI WARIDHISHWA NA HUDUMA ZA MATIBABU YA MOYO JKCI VIWANJA VYA SABASABA

NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM WANANCHI wa mkoa wa Dar es Salaam na mikoa ya jirani wajitokeza kupima moyo

Editor Editor July 7, 2024

MIRADI YA SH.BILIONI 1.8 /-KUKAGULIWA NA MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA LUSHOTO

NA ASHRACK MIRAJI,LUSHOTO,TANGA MWENGE wa Uhuru umeingia rasmi katika Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto leo, baada ya kukabidhiwa kutoka Halmashauri

Editor Editor June 11, 2025

SERIKALI ITAENDELEA KUSHIRIKIANA NA ASASI ZA KIRAIA-PROF.MKUMBO

NA MWANDISHI WETU,ARUSHA. SERIKALI itaendelea kushirikiana na Asasi za Kiraia nchini nakwamba haitakuwa kikwazo kwao katika shughuli zake za kuleta

Editor Editor September 9, 2024

KIHULLA ATUMA PONGEZI KWA WATUMISHI WMA WAKIADHIMISHA MEI MOSI,2026

NA MWANDISHI WETU,DODOMA OFISA Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo (WMA) Alban Kihulla ametuma ujumbe wa shukrani na pongezi kwa

Editor Editor May 2, 2026

KABIGI AWAASA WATUMISHI TUME YA MADINI KUZINGATIA WELEDI NA UWAJIBIKAJI

NA MWANDISHI WETU,DODOMA Watumishi wa Tume ya Madini wameaswa kuzingatia weledi, uwajibikaji na mshikamano katika utekelezaji wa majukumu yao ili

Editor Editor May 1, 2026

TANZANIA YASISITIZA UONGEZAJI THAMANI MADINI NDANI YA AFRIKA

NA MWANDISHI WETU,NAIROBI,KENYA SERIKALI ya Tanzania imetoa msimamo thabiti wa kuitaka Afrika kuharakisha mageuzi ya Sekta ya Madini kwa kuwekeza

Editor Editor April 30, 2026

BELARUS YAONESHA NIA YA KUSHIRIKIANA NA SERIKALI YA TANZANIA KUPITIA TPA

NA MWANDISHI WETU,DAR ES SALAAM SERIKALI ya Belarus imeonesha nia ya kushirikiana na Tanzania kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari

Editor Editor April 29, 2026

INEC:WATENDAJI WA CHAGUZI EPUKENI KUFANYA KAZI KWA MAZOEA

NA MWANDISHI WETU,MOROGORO WATENDAJI wa uchaguzi wametakiwa kuepuka kufanya kazi kwa mazoea licha ya baadhi yao kuwa na uzoefu kwenye

Editor Editor April 28, 2026

Editor's Pick

- Advertisement -
Ad image

  TASAC YATOA TAARIFA KUZAMA KWA  MELI YA UVUVI “MV LEGACY”           SHIRIKA la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limetoa taarifa kwa Umma kuhusu tukio lakuzama kwa boti ya uvuvi “MV LEGACY” yenye namba ya usajili DS/L1175 inayomilikiwana Yakoub Juma Khamis na yenye urefu wa mita 11 na upana wa mita 1.7 iliyopatiwa Cheti cha Usajili na Ubora na TASAC kufanya shughuli za uvuvi mnamo tarehe06/03/2024.Mnamo tarehe 10/03/2024 majira ya 10:01 alasiri, kituo chetu cha kuratibu shughuli zautafutaji na uokoaji (MRCC) kilipokea taarifa ya kuzama kwa boti ya uvuvi “MV LEGACY”iliyotokea majira ya saa 9:50 jioni karibu na fukwe ya Coco Beach, Msasani, Wilaya yaKinondoni mjini Dar es salaam ambayo ilikuwa na jumla ya Mabaharia tisa (09)ikijumuisha Wavuvi sita (06), Mhandisi Mitambo mmoja (01) na Manahodha wawili (02).Kituo cha MRCC kilifanya jukumu lake la kisheria la kuratibu shughuli ya uokoaji kwakutoa taarifa kwa Jeshi la Polisi (Wanamaji) na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji na kufanyajuhudi za kufika eneo la tukio na kufanya zoezi la uokoaji. Watu wote tisa wamefanikiwakuokolewa na wanaendelea vizuri kiafya bila ya kuwa na changamoto yoyote.Boti hiyo ambayo ilikuwa katika majaribio ya kiufundi baada ya matengenezo ya mifumoya uvuaji samaki kwa kukokota (Trawling), ilianza majaribio majira ya saa 3:00 asubuhiikitokea maeneo ya Tandavamba, Kivukoni na kufanya majaribio ya kuvua samakiwakizunguka katika maeneo yenye maji mafupi karibu na eneo la daraja jipya laTanzanite (Upanga) hadi Coco Beach (Oysterbay). Ilipofika majira ya saa 9:50 Alasiriwakati nahodha anabadilisha uelekeo wa boti kuelekea upande wa kulia ndipo kambamoja ya upande wa kushoto ikakatika na kusababisha uzito kelemea kwenye kamba yaupande wa kulia na ndipo uzito ulipohama ghafla na kuilazimisha boti kunywa majiupande wa kulia kisha kuzama.TASAC inaendelea kutoa rai kwa wamiliki na waendeshaji wa vyombo majini kuzingatiaSheria na Kanuni za udhibiti usafiri majini na kuhakikisha muda wote wanavalia majaketiokozi ili kujiepusha na maafa yanayoweza kusababishwa na tukio la ajali.Imetolewa na;Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu,Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC).

This will close in 20 seconds