- Advertisement -
Ad image

Choose Your Plan

Get unlimited access to everything

Monthly Plan

Plans starting at less than $9/month. Cancel anytime.

$9/month
Unlimited access to contentPaper magazine deliveredExclusive discountPremium supportCancel any time
[swpm_payment_button id=1971 button_text="Buy Monthly Plan"]

Yearly Plan

Billed yearly at $54, Save 40% for this plan. Cancel anytime.

$54/year
Unlimited access to contentPaper magazine deliveredExclusive discountPremium supportCancel any time
[swpm_payment_button id=1971 button_text="Subscribe Now"]

Follow Us

More Latest News

WANAWAKE WATAJWA KUWA CHANZO  MMOMONYOKO WA MAADILI

NA DANSON KAIJAGE,DODOMA IMEELEZWA kuwa mmomonyoko mkubwa wa maadili na masuala makubwa ya unyanyasaji unasababishwa kwa kiasi kikubwa na akina

Editor Editor August 26, 2024

Majeruhi aliyegongwa na basi la Mwendokasi kurejea MOI kwa uangalizi zaidi baada ya siku 14

NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM MAJERUHI Osam Milanzi aliyeruhusiwa jana Machi 28, 2023 kutoka hospitali baada ya kugongwa na

Editor Editor March 29, 2023

TANTRADE YASHIRIKI KONGAMANO LA BIASHARA NA UWEKEZAJI KATI YA TANZANIA NA INDONESIA

NA MWANDISHI MAALUMU, JAKARTA,INDONESIA MAMLAKA ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) imeratibu na kushiriki kwenye Kongamano la Biashara na Uwekezaji

Editor Editor January 25, 2024

NAIBU KATIBU MKUU UMOJA WA MATAIFA AVUTIWA NA MKAKATI WA SERIKALI WA UTAFITI WA MADINI NCHINI

▪️Ampongeza Rais Samia kwa kwa maono ya kukuza sekta ya Madini ▪️Avutiwa na aonesha utayari wa kusaidia VISION 2030 ▪️Apongeza

Editor Editor January 27, 2025

RAIS WA ZAMBIA AWASILI DAR KWA AJILI YA MKUTANO WA NISHATI

NA JANETH JOVIN,DAR ES SALAAM RAIS wa Jamhuri ya Zambia, Hakainde Hichilema, amewasili jijini Dar es Salaam kushiriki Mkutano wa

Editor Editor January 27, 2025

TANZANIA KINARA USAMBAZAJI NISHATI YA UMEME VIJIJINI

NA JANETH JOVIN ,DA Tanzania imepongezwa kwa kufikisha nishati ya umeme hadi ngazi ya vijiji hali inayoendelea kuchochea maendeleo na

Editor Editor January 27, 2025

MKUTANO WA NISHATI KWA WAKUU WA MATAIFA YA AFRIKA NI KICHOCHEO CHA SERA YA TAIFA INAYOLENGA KUENDELEZA NISHATI ENDELEVU – DK.BITEKO

NA JANETH JOVIN, DAR ES SALAAM NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amesema kuwa serikali ya

Editor Editor January 27, 2025

MAANDALIZI MKUTANO WA NISHATI WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA WAKAMILIKA

NA JANETH JOVIN,DAR ES SALAAM WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mahmoud Thabit Kombo, amesema

Editor Editor January 26, 2025

Editor's Pick

- Advertisement -
Ad image

  TASAC YATOA TAARIFA KUZAMA KWA  MELI YA UVUVI “MV LEGACY”           SHIRIKA la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limetoa taarifa kwa Umma kuhusu tukio lakuzama kwa boti ya uvuvi “MV LEGACY” yenye namba ya usajili DS/L1175 inayomilikiwana Yakoub Juma Khamis na yenye urefu wa mita 11 na upana wa mita 1.7 iliyopatiwa Cheti cha Usajili na Ubora na TASAC kufanya shughuli za uvuvi mnamo tarehe06/03/2024.Mnamo tarehe 10/03/2024 majira ya 10:01 alasiri, kituo chetu cha kuratibu shughuli zautafutaji na uokoaji (MRCC) kilipokea taarifa ya kuzama kwa boti ya uvuvi “MV LEGACY”iliyotokea majira ya saa 9:50 jioni karibu na fukwe ya Coco Beach, Msasani, Wilaya yaKinondoni mjini Dar es salaam ambayo ilikuwa na jumla ya Mabaharia tisa (09)ikijumuisha Wavuvi sita (06), Mhandisi Mitambo mmoja (01) na Manahodha wawili (02).Kituo cha MRCC kilifanya jukumu lake la kisheria la kuratibu shughuli ya uokoaji kwakutoa taarifa kwa Jeshi la Polisi (Wanamaji) na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji na kufanyajuhudi za kufika eneo la tukio na kufanya zoezi la uokoaji. Watu wote tisa wamefanikiwakuokolewa na wanaendelea vizuri kiafya bila ya kuwa na changamoto yoyote.Boti hiyo ambayo ilikuwa katika majaribio ya kiufundi baada ya matengenezo ya mifumoya uvuaji samaki kwa kukokota (Trawling), ilianza majaribio majira ya saa 3:00 asubuhiikitokea maeneo ya Tandavamba, Kivukoni na kufanya majaribio ya kuvua samakiwakizunguka katika maeneo yenye maji mafupi karibu na eneo la daraja jipya laTanzanite (Upanga) hadi Coco Beach (Oysterbay). Ilipofika majira ya saa 9:50 Alasiriwakati nahodha anabadilisha uelekeo wa boti kuelekea upande wa kulia ndipo kambamoja ya upande wa kushoto ikakatika na kusababisha uzito kelemea kwenye kamba yaupande wa kulia na ndipo uzito ulipohama ghafla na kuilazimisha boti kunywa majiupande wa kulia kisha kuzama.TASAC inaendelea kutoa rai kwa wamiliki na waendeshaji wa vyombo majini kuzingatiaSheria na Kanuni za udhibiti usafiri majini na kuhakikisha muda wote wanavalia majaketiokozi ili kujiepusha na maafa yanayoweza kusababishwa na tukio la ajali.Imetolewa na;Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu,Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC).

This will close in 20 seconds