- Advertisement -
Ad image

Choose Your Plan

Get unlimited access to everything

Monthly Plan

Plans starting at less than $9/month. Cancel anytime.

$9/month
Unlimited access to contentPaper magazine deliveredExclusive discountPremium supportCancel any time
[swpm_payment_button id=1971 button_text="Buy Monthly Plan"]

Yearly Plan

Billed yearly at $54, Save 40% for this plan. Cancel anytime.

$54/year
Unlimited access to contentPaper magazine deliveredExclusive discountPremium supportCancel any time
[swpm_payment_button id=1971 button_text="Subscribe Now"]

Follow Us

More Latest News

WADAU WA UJENZI WASHAURIWA KUTUMIA MAABARA ZA TARURA

NA MWANDISHI WETU, DODOMA WADAU  wa ujenzi wa miundombinu ikiwemo barabara, madaraja, makalavati na majengo nchini wameshauriwa kutumia Maabara za

Editor Editor August 6, 2024

SERIKALI KUJENGA KITUO CHA KUPOOZA UMEME NA SWITCHING STATION SONGWE

NA MWANDISHI WETU,DODOMA NAIBU  Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema Serikaliinaendelea na utekelezaji wa miradi mbalimbali ya umeme itakayoboreshaupatikanaji umeme

Editor Editor May 8, 2024

DK MWIGULU AISHAURI GGM KUIUZIA SERIKALI DHAHABU KUPITIA BoT

NA BENNY MWAIPAJA,WF,DODOMA WAZIRI wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba, ameushauri uongozi wa Kampuni ya Uchimbaji Dhahabu ya Anglo Gold Ashanti,

Editor Editor January 24, 2024

BAJETI YA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII KWA MWAKA 2025/26 YAPITA KWA KISHINDO

*WAZIRI DK.GWAJIMA AAINISHA VIPAUMBELE VITANO NA MWANDISHI WETU , DODOMA WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum

Editor Editor May 28, 2025

MAJALIWA AKUTANA NA VIONGOZI WIZARA YA ARDHI YA JAPAN PAMOJA NA SHIRIKISHO LA WAWEKEZAJI

NA MWANDISHI MAALUM ,TOKYO, JAPAN WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa Mei 27, 2025, alikutana na Waziri wa Ardhi, Miundombinu, Usafirishaji na Utalii

Editor Editor May 28, 2025

DK. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM

NA MWANDISHI WETU, DODOMA MWENYEKITI wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia

Editor Editor May 26, 2025

BITEKO:RAIS SAMIA ANATAKA TAIFA LENYE UPENDO NA MAENDELEO

📌*Dk. Biteko awaasa Watanzania kutogawanyika na kuendelea kuwa wamoja* 📌 *Awapongeza CCT kwa kuendelea kushirikiana* 📌 *Asema Serikali inathamini mchango

Editor Editor May 25, 2025

MAJALIWA ANADI VIVUTIO VYA UTALII, UWEKEZAJI

_▪️Ni katika siku ya Tanzania kwenye maonesho ya Osaka World EXPO 2025 _▪️Asema mauazo ya bidhaa za Tanzania Japan yafikia

Editor Editor May 25, 2025

Editor's Pick

- Advertisement -
Ad image

  TASAC YATOA TAARIFA KUZAMA KWA  MELI YA UVUVI “MV LEGACY”           SHIRIKA la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limetoa taarifa kwa Umma kuhusu tukio lakuzama kwa boti ya uvuvi “MV LEGACY” yenye namba ya usajili DS/L1175 inayomilikiwana Yakoub Juma Khamis na yenye urefu wa mita 11 na upana wa mita 1.7 iliyopatiwa Cheti cha Usajili na Ubora na TASAC kufanya shughuli za uvuvi mnamo tarehe06/03/2024.Mnamo tarehe 10/03/2024 majira ya 10:01 alasiri, kituo chetu cha kuratibu shughuli zautafutaji na uokoaji (MRCC) kilipokea taarifa ya kuzama kwa boti ya uvuvi “MV LEGACY”iliyotokea majira ya saa 9:50 jioni karibu na fukwe ya Coco Beach, Msasani, Wilaya yaKinondoni mjini Dar es salaam ambayo ilikuwa na jumla ya Mabaharia tisa (09)ikijumuisha Wavuvi sita (06), Mhandisi Mitambo mmoja (01) na Manahodha wawili (02).Kituo cha MRCC kilifanya jukumu lake la kisheria la kuratibu shughuli ya uokoaji kwakutoa taarifa kwa Jeshi la Polisi (Wanamaji) na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji na kufanyajuhudi za kufika eneo la tukio na kufanya zoezi la uokoaji. Watu wote tisa wamefanikiwakuokolewa na wanaendelea vizuri kiafya bila ya kuwa na changamoto yoyote.Boti hiyo ambayo ilikuwa katika majaribio ya kiufundi baada ya matengenezo ya mifumoya uvuaji samaki kwa kukokota (Trawling), ilianza majaribio majira ya saa 3:00 asubuhiikitokea maeneo ya Tandavamba, Kivukoni na kufanya majaribio ya kuvua samakiwakizunguka katika maeneo yenye maji mafupi karibu na eneo la daraja jipya laTanzanite (Upanga) hadi Coco Beach (Oysterbay). Ilipofika majira ya saa 9:50 Alasiriwakati nahodha anabadilisha uelekeo wa boti kuelekea upande wa kulia ndipo kambamoja ya upande wa kushoto ikakatika na kusababisha uzito kelemea kwenye kamba yaupande wa kulia na ndipo uzito ulipohama ghafla na kuilazimisha boti kunywa majiupande wa kulia kisha kuzama.TASAC inaendelea kutoa rai kwa wamiliki na waendeshaji wa vyombo majini kuzingatiaSheria na Kanuni za udhibiti usafiri majini na kuhakikisha muda wote wanavalia majaketiokozi ili kujiepusha na maafa yanayoweza kusababishwa na tukio la ajali.Imetolewa na;Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu,Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC).

This will close in 20 seconds