Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dk. Selemani Jafo akifanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) Dk. Immaculate Semesi ofisini kwa Waziri jijini Dodoma.Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira)Dk. Selemani Jafo akiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) Dk Immaculate Semesi mara baada ya mazungumzo yao ofisini kwa Waziri jijini Dodoma.