Afya WAUGUZI JKCI WAPONGEZWA KWA KUTOA HUDUMA BORA Editor July 10, 2024 Updated 2024/07/10 at 5:51 PM Share SHARE MKURUGENZI Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dk.Peter Kisenge akiwa katika picha ya pamoja na Maofisa Uuguzi wanaosimamia vitengo mbalimbali vinavyofanya kazi za uuguzi baada ya kuwapatia vyeti vya kuthamini mchango wao katika kusimamia shughuli zinazofanywa na Taasisi.Picha na: JKCI MKURUGENZI Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dk.Peter Kisenge akimkabidhi Afisa Muuguzi wa Taasisi hiyo anayesimamia katika wodi ya wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalumu (CCU) Tuzo Mcharo cheti cha kuthamini mchango wake katika kutoa huduma bora kwa wagonjwa wanaotibiwa JKCI. MKURUGENZI Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dk.Peter Kisenge akimkabidhi Ofisa Muuguzi wa Taasisi hiyo anayesimamia wodi namba tatu Salama Mkinga cheti cha kuthamini mchango wake katika kutoa huduma bora kwa wagonjwa wanaotibiwa na JKCI. You Might Also Like Watoto 300 wafanyiwa upasuaji wa moyo Kambi matibabu ya JKCI na Saudi Arabia Mhagama: Bima ya afya kwa wote itawapunguzia wananchi kulipia gharama kubwa za matibabu ya moyo MOI YAPONGEZWA KWA KUPUNGUZA IDADI YA WAGONJWA KUTIBIWA NJE YA NCHI. DK.MCHOME AWASHUKURU WADAU WALIODHAMINI MOI MARATHON 2024 MOI YAADHIMISHA MIAKA 20 YA UPASUAJI WA NYONGA NA MAGOTI Editor July 10, 2024 Share this Article Facebook TwitterEmail Print Previous Article TEITI YASEMA SEKTA YA MADINI TANZANIA INAENDESHWA KWA UWAZI Next Article WIZARA YA FEDHA MSHINDI WA PILI WA JUMLA MAONESHO YA BIASHARA YA 48 YA KIMATAIFA Leave a comment Leave a Reply Cancel replyYour email address will not be published. Required fields are marked *Comment * Name * Email * Website Save my name, email, and website in this browser for the next time I comment. Stay Connected Facebook Like Twitter Follow Youtube Subscribe Telegram Follow - Advertisement - Latest News BITEKO ATOA MAAGIZO MATATU KWA TANESCO Nishati TAMKO LA LHRC KUKAMATWA KWA ALIYEKUWA MEYA WA UBUNGO BONIFACE JACOB Kitaifa ZOEZI LA UGAWAJI MAHINDI MSOMERA LAENDELEA Jamii Viongozi wa AMCOS jela miaka miwili kwa jaribio la kutoa rushwa kwa Bosi wa Takukuru Tunduru Mahakamani