Siasa DK NCHIMBI ATETA NA MABALOZI WA NCHI SITA ZA BARANI AFRIKA Editor February 5, 2024 Updated 2024/02/05 at 8:21 PM Share SHARE NA MPIGA PICHA MAALUMU, DAR ES SALAAM Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, pamoja na baadhi ya Mabalozi wa Nchi Sita Marafiki za Kusini mwa Afrika, wakiwa wamesimama kimya kwa dakika moja, kuomboleza na kumkumbuka aliyekuwa Rais wa Namibia, Hayati Komredi Hage Gottfried Geingob, kabla ya kuanza mazungumzo yao kuhusu masuala mbalimbali, yaliyofanyika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Mtaa wa Lumumba, jijini Dar Es Salaam. Kulia kwa Dk. Nchimbi ni Balozi wa Angola, Sandro de Oliveira, akifuatiwa na Balozi wa Msumbiji. Ricardo Mtumbuida na anayefuata ni Balozi wa Afrika ya Kusini, Noluthando Mayende-Malepe. Nchi zinazounda urafiki huo wa kihistoria na Vyama Sita Rafiki vya Ukombozi wa Kusini mwa Afrika, vinavyoongoza nchi hizo ni Tanzania (CCM), Angola (MPLA), Msumbiji (FRELIMO), Zimbabwe (ZANU – PF), Namibia (SWAPO) na Afrika Kusini (ANC). You Might Also Like CHADEMA KWA MOTO DK.MWINYI AONGOZA KIKAO CHA KAMATI MAALUMU ZANZIBAR DK NCHIMBI AKUTANA NA WAJUMBE KAMATI YA SIASA WILAYA YA ROMBO DK NCHIMBI AKUTANA NA WAJUMBE KAMATI YA SIASA WILAYA YA ROMBO DK.NCHIMBI ATETA NA WATUMISHI CCM MAKAO MAKUU NA JUMUIYA ZAKE Editor February 5, 2024 Share this Article Facebook TwitterEmail Print Previous Article Ushawishi wa Tanzania duniani utategemea na Ubora wa Sera ya Mambo ya Nje inayorekebishwa Next Article AfDB KUENDELEZA USHIRIKIANO SEKTA YA NISHATI NCHINI Leave a comment Leave a Reply Cancel replyYour email address will not be published. Required fields are marked *Comment * Name * Email * Website Save my name, email, and website in this browser for the next time I comment. Stay Connected Facebook Like Twitter Follow Youtube Subscribe Telegram Follow - Advertisement - Latest News WAZIRI MKUU: WATANZANIA LIMENI MAPARACHICHI Kilimo WANANCHI WARIDHISHWA NA HUDUMA ZA MATIBABU YA MOYO JKCI VIWANJA VYA SABASABA Jamii MATUKIO MBALIMBALI YA HUDUMA ZINAZOTOLEWA NA JKCI KATIKA MAONESHO YA BIASHARA YA KIMATAIFA 2024 Afya WAZIRI MKUU AWEKA JIWE LA MSINGI LA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA IRAMBA Jamii